Ukiwa katika ukurasa wako wa nyumbani wa blog yako unapata fursa na
wakati wa kuweza kutupia habari,taarifa, matukio na makala mbalimbali
katika blog yako na kuwafanya watumiaji wa blogu hiyo kupata taarifa muhimu
kila wakati na baada ya muda mchache
Namna ya kuweza kuposti taarifa katika blogu yako
@kwenye dashibodi ya kushoto weka posti
@pia katika posti hiyo upande wa kushoto
@bofya kitufe cha rangi ya chungwa
@kilicho andikwa new posti ili uweze posti
A REALLY LIKE YOUR SITE
ReplyDeleteIT REALLY WORKS THANK YOU
ReplyDelete