Baada ya kufuata hatua iliyopita pia kwa waliosahau kwa kutazama
picha hapo juu kuwakumbushia hatua iliyopita .juu ya jina la blog
kuna maneno ya rangi ya kijani mpauko yalioandikwa kwa kiingereza
yakiwa na maana ya tazama blog yako
Hivyo mtu hupaswa kubofya kitufe hicho ili waweze kutazama blogu yako na pia kupata muda wa kutambua makosa madogodogo
kabla ya kuposti rasmi taarifa yako
No comments:
Post a Comment