Ikiwa ni wakati mwingine tena tumekutana kuendeleza darasa letu huru kwa watanzania
ili waweze kupata mafanikio ya mambo yao mbalimbali katika shughuli zao
Taarifa ifuatayo ni hatua muhimu sana inayohitajika ili kufanikisha kufungua blogu
kwa urahisi hivyo niazimeni akili na macho yenu kwa wakati huu na kuendelea
@kwanza tembelea ukurasa wa google kwenye kompyuta yako unayotumia kila
siku
@pili katika hiyo google unatakiwa uingize accounti yako na isome jina la
akaunti yako ya google
@tatu baada ya kuweka hiyo akaunti yako ya google unapaswa uweke sync on
@baada ya hapo sasa unaanza kutumia google ya email akaunti yako uliyojiunga
hapo mwanzo
@baada ya hapo unaandika linki hii katika google akaunti yake
www.blogger.com
Alafu unaanza kutafuta kwa kubofya kitufe cha search kwenye skrini yako
ili waweze kupata mafanikio ya mambo yao mbalimbali katika shughuli zao
Taarifa ifuatayo ni hatua muhimu sana inayohitajika ili kufanikisha kufungua blogu
kwa urahisi hivyo niazimeni akili na macho yenu kwa wakati huu na kuendelea
@kwanza tembelea ukurasa wa google kwenye kompyuta yako unayotumia kila
siku
@pili katika hiyo google unatakiwa uingize accounti yako na isome jina la
akaunti yako ya google
@tatu baada ya kuweka hiyo akaunti yako ya google unapaswa uweke sync on
@baada ya hapo sasa unaanza kutumia google ya email akaunti yako uliyojiunga
hapo mwanzo
@baada ya hapo unaandika linki hii katika google akaunti yake
www.blogger.com
Alafu unaanza kutafuta kwa kubofya kitufe cha search kwenye skrini yako
No comments:
Post a Comment