kwenye hatua kubwa na muhimu zaidi kuzidi hatua zote zilizotajwa hapo mwanzo
kwani kama mwilini basi hatua hii hapa ndio moyo wenyewe kwani hatua hii
inabeba taariifa muhimu katika kutengeneza blogu yako
@kwanza fuata hatua zilizopita ili uweze kufika katika ukurasa wenye sura
kama hii hapo juu
@baada ya hapo songa mbele fuata na bofya/bonyeza/gusa kitufe kilichopo
kati ya ukurasa chenye rangi ya chungwa
@kitufe hicho kimeandikwa....create your blog.....
@baada ya hapo utaletewa fomu ya ujaza ........
No comments:
Post a Comment